Help Children
Love them
Saidia Watoto

Sunday, September 28, 2014

Milioni 100 zapatikana kusaidia elimu kata ya Kipawa, zimechangishwa na Diwani wa kata hiyo Bonnah Kalua

 Mgeni Rasmi katika hafla ya Chakula cha jioni cha kuchangia Mfuko wa Bonnah Education Trust Fund,Mwenyekiti wa CCM Mkoawa Dar es Salaam,Ndg. Ramadhan Madabida akitoa hotuba yake kabla ya kuanza kuendesha harambee hiyo,iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.Zaidi ya sh. Milioni 100 zilipatikana katika harambee hiyo.  Mwenyekiti Mwanzilishi wa Bonnah Education Trust Fund,Bonnah Kaluwa akitoa hotuba...

Saturday, September 27, 2014

Mziiki utufungue macho katika kutuelimisha biashara ya muziki

KWA sasa biashara ya muziki inazidi kubadilika kila kukicha kutokana na maendeleo katika teknolojia duniani. Tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma ambapo kulikuwa na utamaduni wa kutumia zaidi santuri au kanda katika kupata muziki. Ikaja kubadilika na kuwa zinatumika zaidi Cd katika kujipatia burudani hiyo ya muziki ambapo nayo pia ilikaa kwa muda mrefu kabla ya sasa kuanza kutumika kwa Cm kama njia moja wapo ya kujipatia muziki. Utamaduni...

Thursday, September 18, 2014

Tujumuike kwenye Harambee ya HMT

...

Sunday, September 14, 2014

Mahafali ya George Kelvin Magaya katika sekondari ya Eagle Bagamoyo

George ahitimu kidato cha nne Ni huyo mwenye miwani Kukawa na maigizo Dada zake walikuapo kuchukua picha Dada mtu kazini George akishuhudia matukio Huyo katikati ni mama George Hii ni Keki iliyotengenezwa na wazazi wa wanafunzi shuleni hapo Maigizo yakiendelea Seriously i was so impressed by this student who got like five different  prizes Likapigwa dansi la nguvu George na madada zake Mkuu...