Help Children
Love them
Saidia Watoto

Tuesday, July 29, 2014

Mzazi amlamba bakora mwalimu, hii ni mbaya sana

Walimu wawili wa shule ya Msingi Nzogimlole wilayani Nzega Mkoani Tabora wamejikuta katika wakati mgumu baada ya kupigwa na kujeruhiwa vibaya na mzazi mmoja aliyetambulika kwa jina la Selemani Juma baada ya walimu hao kumurudisha shule mwanafunzi Shaabani Mziku kutokana na kuchanika kwa sare yake ya shule (bukta). Mwandishi wa habari hii alifika katika shule hiyo ya Msingi Nzogimlole na kuzungumza na mwlimu mkuu msaidizi Emmanuel Josephat alisema...

Wednesday, July 16, 2014

Isome taarifa ya matokeo kidato cha sita hapa,

    BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA), imetangaza matokeo ya Kidato cha Sita uliofanyika kati ya Mei 5 hadi 21, 2014 ufaulu umeongezeka kwa asilimia 8.13 ukilinganisha na matokeo ya mwaka jana. Kwa mwaka huu, wanafunzi 38,905 kati watahiniwa 40,695 ikiwa ni asilimia 95.98. Mwaka jana wanafunzi waliofaulu walikuwa ni 44,366 sawa na asilimia 87.85. Kaimu Katibu Mkuu wa NECTA, Dk Charles Msonde alisema wanafunzi waliofaulu wasichana...

Sunday, July 6, 2014

Angalia video ya wanafunzi hawa wa Tusiime wakiimba

Shule hiyo iliyopo Tabata Ilala, Dar es salaam sio nzuri tu kimasomo bali hata katika kuinua vipaji vya wanafunzi pia...

Tuesday, July 1, 2014

Sekondari ya Mtakuja yapewa vitabu kutoka Bahari Rotary

Mkuu wa Sekondari ya Mtakuja, Beatrice Mhina Ramadhan akiwa na Kamusi zake (Dictionary) ofisini kwake baada ya kukabidhiwana Bahari Rotary Mkuu wa Sekondari ya Mtakuja, Beatrice Mhina Ramadhan(kulia) akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Shule hiyo Wilnfred Haule katikati pamoja na mmoja kati ya walimu wa shule hiyo baada ya kupewa msaada wa vitabu kutoka Bahari Rota...