Help Children
Love them
Saidia Watoto

Saturday, May 31, 2014

Bahari Rotary Club kusaidia kituo cha kulelea wasichana cha Kurasini

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE Mchezaji wa mchezo wa gofu kutoka Bahari Rotary Club Shakil Jaftes, akicheza gofu wakati wa uzinduzi wa michuano ya gofu kuchangia ...

GENIUS CAP 2014 yapata washindi wake

Washindi walioingia  hatua ya tatu bora katika mashindano ya GENIUS CAP 2014, kutoka kulia ni mshindi wa kwanza John Reginald Bugeraha(13), mshindi wa pili Patrick Frank John(14) wote kutoka shule ya msingi Mount Everest, na mshindi wa tatu Samira Yahya Kishasha(12) kutoka Shule ya Msingi Anazak wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kukabidhiwa zawadi zao katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Mshindi...

Saturday, May 24, 2014

Mwanafunzi usikate tamaa kamwe

Nimependa sana namna ambavyo kijana huyu alionekana akijiamini kwa kile alichokuwa akikitafuta na hata alipokikosa anaonekana kutokata tamaa. Na Msiogoep kujaribu kamw...

Friday, May 23, 2014

Brianna asherehekea birthday party yake na watoto wenzake shuleni Jomak

Ilikuwa ni sherehe ya kutimiza miaka mitatu ya mwanafunzi wa Jomak Day Care iliyopo Bahari Beach Briana akimlisha baba yake keki Huyu ni ndio mhusika wa hafla hiyo anaitwa Briana iliyowashirikisha wazazi wake na wanafunzi wenzake. Akamlisha keki mama yake pembeni ni baba yake akifuatilia Wanafunzi wenzake Marafiki zake Mmoja wa wamiliki wa shule hiyo Teddy Kimario akitoa maelekezo wa wazazi wa Briana ambapo kushoto ni...

Sunday, May 11, 2014

Shule ya Scholasica ya Moshi yatoa wanafunzi bora msingi

Na Mwandishi  Wetu, DodomaSHULE ya msingi Scholastica mkoani Kilimanjaro imetoa mwanafunzi bora wa kike katika mtihani wa kumaliza elimu ya msingi mwaka 2013 aliyekuwa miongoni mwawanafunzi 10 bora kitaifa waliopewa tuzo juzi mjini hapa na Makamu wa Rais, DkMohamed GharibBilal. Mtoto huyo,Gladness Norbert (14) ambaye sasa anasoma Kidato cha Kwanza Shule ya Marian iliyoko Bagamoyo, Pwani, pamoja na wanafunzi wengine, wamepewa fedha taslimu...