Help Children
Love them
Saidia Watoto

Thursday, March 20, 2014

Tusikose kufika mahala hapa

...

Friday, March 14, 2014

Serikali kutoa msimamo wake kuhusiana na suala la ada

Na Mwandishi Wetu SERIKALI iko katika mchakato wa kuja na bei elekezi ya ada kwa wajili ya shule za msingi na sekondari hapa nchini. Hatua hiyo ya serikali imetokana na kukamilisha mfumo wa gharama halisi ya ada kwa mwanafunzi kwa elimu ya juu katika vyuo vikuu hapa nchini ambao utaanza kutumika mwaka ujao wa fedha. Akizungumza jana wakati wa uzinduzi, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa alisema mfumo huo utasaidia wanafunzi,...

Thursday, March 6, 2014

Stamico yafurahishwa na ulinzi wa SUMA Jkt

SHIRIKA la Uzalishaji Mali  la Jeshi la Kujenga Taifa,  SUMA JKT, limepongezwa kwa juhudi zake katika kuhakikisha ulinzi unaimarika katika maeneo ya mgodi wa STAMIGOLD uliopo Biharamulo Kagera. Mgodi huo kwa sasa umekabidhiwa kwa serikali ambapo unaendeshwa chini ya shirika la madini la STAMICO. Pongezi hizo zilitolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi  wa STAMICO,  Rumisha Kimambo katika kikao kilichojumuisha Bodi yake na...