Help Children
Love them
Saidia Watoto

Friday, January 31, 2014

Vodacom kunogesha ligi ya shule 12 za sekondari

WAZIRI wa Wizara ya Habari,Utamadun, Vijana na Michezo Fennela Mukangara jana alikabidhi vifaa vya michezo kwa shule za sekondari 12 zitakazoshiriki ligi ya Dar es salaam Community Sports Cup. Ligi hiyo maalum kwa ajili ya kuandaa wanamichezo bora wa baadae itaanza Februali 8 mwaka huu na kushirikisha sekondari zilizopo wilaya ya Ilala, Kinondoni na Temeke chini ya udhamini wa kampuni ya simu ya mkononi ya Vodacom n aimehasisiwa na...

Sunday, January 26, 2014

Flaviana Matata na kiu ya kutatua kero za wanafunzi nchini, PSPF ipo nyuma yake

Akipokewa na wanafunzi darasani JINA la Flaviana Matata sio jina geni masikioni mwa watu hapa nchini hususan kwa wadau wa masuala ya ubunifu wa mavazi na mitindo kwa ujumla. Flaviana alianza jitihada za kujitangaza katika medani ya mitindo mwanzoni mwa miaka ya 2000 hasa pale alipoukwaa ulimbwende wa Miss Universe. Flaviana ni mwanadada mrefu, mwembamba, mcheshi na mzuri kwa ujumla wake anaonekana kuwa ni mwenye malengo katika fani yake...

Friday, January 10, 2014

Tusikose tukio hili muhimu

Ni palepale Lowa Street Kinondoni ambapo kwenye duka la hisani la HMT  lililopo karibia na Vijana hall, kutakuwa na mnada wa mauzo ya vitu mbalimbali kuanzia shilingi 500 hadi 30000/=  hizo ni fedha za kitanzania. Itakuwa ni kuanzia Jumatatu ya Januari 13 hadi  27 mwaka hu...